Kanda ya Kusini, Malawi
Kanda ya Kusini ni kanda ya kiutawala nchini Malawi.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/1/13/Southern_in_Malawi.svg/259px-Southern_in_Malawi.svg.png)
Eneo lake ni la kilomita za mraba 31,753.
Makao makuu yako mjini Blantyre.
Mnamo 2018, idadi ya wakazi ilikuwa 7,750,629 [1].
Kati ya wilaya 28 nchini Malawi, 13 ziko ndani ya Mkoa wa Kusini. Nazo ni: