Kanoni ni mji wa Mkoa wa Kati wa Uganda ambao ndio makao makuu ya wilaya ya Gomba.

Katika sensa ya mwaka 2014 ulikuwa na wakazi 12,439[1].

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

  1. UBOS (27 August 2014). "The Population of The Regions of the Republic of Uganda And All Cities And Towns of More Than 15,000 Inhabitants". Citypopulation.de Quoting Uganda Bureau of Statistics (UBOS). Iliwekwa mnamo 21 February 2015.  Check date values in: |date=, |accessdate= (help)