Karlstad
Karlstad ni mji nchini Uswidi. Mji ulianzishwa 1584. Kuna wakazi 58,544 (mwaka 2005). Kuna pia Chuo Kikuu cha Karlstad.


Historia hariri
Karlstad ilianzishwa mwaka 1584 na Karl IX.
Jiografia hariri
Eneo lake ni 29.92 km².
-
Daraja ya Mashariki
-
Jumba la Sanaa la Karlstad
-
Ukumbi wa Karlstad
Viungo vya nje hariri
Makala hii kuhusu maeneo ya Uswidi bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Karlstad kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |