Kiazi
Kiazi ni sehemu ya mzizi wa mmea ambayo imekua nene na inahifadhi chakula cha mmea. Mifano ni kiazi kitamu, kiazi kikuu, kiazi cha kizungu na karoti.
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/a/ab/Patates.jpg/220px-Patates.jpg)
Picha
hariri-
Viazi vya kizungu
-
Viazi vitamu
-
Viazi vikuu
-
Karoti