Kiazi
Kiazi ni sehemu ya mzizi wa mmea ambayo imekua nene na inahifadhi chakula cha mmea. Mifano ni kiazi kitamu, kiazi kikuu, kiazi cha kizungu na karoti.

Picha
hariri-
Viazi vya kizungu
-
Viazi vitamu
-
Viazi vikuu
-
Karoti