Kichina ya Wu ni lugha ya Kisino-Tibeti inayozungumzwa na Wahan, hasa upande wa mashariki nchini Uchina. Mwaka wa 2013 idadi ya wasemaji wa Kichina ya Wu imehesabiwa kuwa watu zaidi ya milioni 80. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kichina ya Wu iko katika kundi la Kichina.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kichina cha Wu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.