Kihlersu ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Uchina inayozungumzwa na Wahlersu. Mwaka wa 2007 idadi ya wasemaji wa Kihlersu imehesabiwa kuwa watu 15,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kihlersu iko katika kundi la Kingwi.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kihlersu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.