Kilaghuu ni lugha ya Kisino-Tibeti nchini Vietnam inayozungumzwa na Walaghuu. Mwaka wa 2002 idadi ya wasemaji wa Kilaghuu imehesabiwa kuwa watu 300. Kufuatana na uainishaji wa lugha, Kilaghuu iko katika kundi la Kingwi.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kilaghuu kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.