Kimalaynon
Kimalaynon ni lugha ya Kiaustronesia nchini Ufilipino inayozungumzwa na Wamalaynon. Mwaka wa 1973 idadi ya wasemaji wa Kimalaynon imehesabiwa kuwa watu 8500. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kimalaynon iko katika kundi la Kifilipino.
Viungo vya njeEdit
- lugha ya Kimalaynon kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kimalaynon
- lugha ya Kimalaynon katika Glottolog
- lugha ya Kimalaynon kwenye Ethnologue
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kimalaynon kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |