Kimalaynon ni lugha ya Kiaustronesia nchini Ufilipino inayozungumzwa na Wamalaynon. Mwaka wa 1973 idadi ya wasemaji wa Kimalaynon imehesabiwa kuwa watu 8500. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kimalaynon iko katika kundi la Kifilipino.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kimalaynon kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.