King'amuzi ni kifaa au chombo cha kielektroniki kilichoundwa kutambua uwepo wa kitu au dutu fulani. Kinatumika hasa kuwezesha mawasiliano kati ya runinga na satelaiti ili kuwezesha watu kuangalia chaneli mbalimbali ambazo zinaweza kuwa za bure au za kulipia.

King'amuzi.
Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.