Kiolesura cha mtumiaji

Katika utarakilishi, kiolesura cha mtumiaji (kwa Kiingereza: user interface) ni nafasi ambapo mtumiaji anaweza kuingilia tarakilishi yake.

Kiolesura cha mtumiaji kwenye programu Linux.

Madhumuni ya mwingiliano huu ni kuruhusu utendaji kazi na udhibiti mzuri wa mashine(tarakilishi) na mwanadamu, huku mashine wakati huo huo ikitoa taarifa zinazosaidia mchakato wa kufanya maamuzi na uendeshaji.

Marejeo hariri

  • Kahigi, K. K. (2007). Ujanibishaji wa Office 2003 na Windows XP kwa Kiswahili Sanifu. Kioo cha Lugha, 5(1).
  Makala hii kuhusu mambo ya teknolojia bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hiyo kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.