Kisiwa ni eneo la nchi kavu kati ya bahari, ziwa au mto linalozungukwa na maji wakati wote. Ukubwa wake hautoshi kukifanya kiitwe "bara".

Kisiwa kidogo au mwamba tu?

Visiwa vilivyo karibu kama kundi mara nyingi huitwa "funguvisiwa".

Tofauti kati ya kisiwa kikubwa na bara dogo limeamuliwa kati ya