Kisiwa cha Ulenge ni kisiwa kimojawapo cha mkoa wa Tanga, nchini Tanzania, ambacho kinapatikana katika Bahari ya Hindi. Mnara wa Taa kisiwani ulijengwa wakati wa ukoloni wa Kijerumani mwaka wa 1894[1]. Karibu na mnara wa taa, lilikuwa jengo la kupata nafuu na kupona baada ya udhaifu uliosababishwa na ugonjwa wakawapata wazungu[2].

Mnara wa kuongozea meli uliopo kisiwa cha Ulenge
Mnara wa taa wa Ulenge

Tazama pia hariri

Tanbihi hariri

  1. "Lighthouses of Tanzania". www.ibiblio.org. 
  2. "Deutsche Kolonialzeitung : Organ der Deutschen Kolonialgesellschaft". 8 Des 1922 – kutoka sammlungen.ub.uni-frankfurt.de. 

Viungo vya nje hariri