Kisumau ni lugha ya Kivuka-Guinea Mpya nchini Papua Guinea Mpya inayozungumzwa na Wasumau. Mwaka wa 2003 idadi ya wasemaji wa Kisumau imehesabiwa kuwa watu 2580. Kufuatana na uainishaji wa lugha kwa ndani zaidi, Kisumau iko katika kundi la Kimadang.

Viungo vya nje hariri

  Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kisumau kama historia yake, uenezi au maendeleo yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.