Kiwiliwili (kilatini truncus „gogo“) ni sehemu kuu ya mwili bila kichwa, shingo, miguu na mikono na mkia.

Kiwiliwili pamoja na mahali pa ogani mhimu ndani yake
Kiwiliwili

Sehemu kuu za kiwiliwili hariri

Kiwiliwili hutazamiwa kuwa na sehemu 4 ndani yake (pamoja na majina ya kilatini yanayotumiwa na matibabu)

Ogani muhimu katika kiwiliwili hariri

Ogani nyingi muhimu zimo ndani ya sehemu za kiwiliwili, kwa mfano