Lazaro Samuel Nyalandu (amezaliwa 18 Agosti, 1970) ni mbunge wa jimbo la Singida North katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania.[1] Anatokea katika chama cha CCM.

Nyalandu

Tazama pia hariri

Marejeo hariri

  1. Mengi kuhusu Lazaro Samuel Nyalandu (25 Aprili 2006). Jalada kutoka ya awali juu ya 2011-10-26. Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011.