Letty Chiwara (Februari 1967) [1] ni afisa wa Zimbabwe wa umoja wa mataifa, mwakilishi wa umoja wa mataifa wa wanawake nchini Malawi,[2] tume ya umoja wa Afrika, na tume ya umoja wa mataifa ya kiuchumi kwa Afrika, nafasi aliyochukua mei 2013.[3] Hapo awali aliwahi kuwa mwakilishi wa umoja wa mataifa wa wanawake nchini Ethiopia.

Marejeo

hariri
  1. "Letty Chiwara". Gov.uk. Iliwekwa mnamo 30 Machi 2024.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  2. "UN Women Representative in Malawi". UN Women. Iliwekwa mnamo 30 Machi 2024.{{cite web}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
  3. "3 Leadership Journeys ONE Story". letty.3leadershipjourneysonestory.com. Iliwekwa mnamo 2024-03-29.
  Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Letty Chiwara kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.