Lila Tretikov (alizaliwa Olga (Lyalya) Tretyakova, Moscow, Umoja wa Kisovyeti.[1] Januari 25, 1978)[2] ni mhandisi na meneja wa Urusi na Marekani.[3] Tretikov alizaliwa jijini

Lila Tretikov akiongea mkutanoni

Baba yake alikuwa mtaalamu wa hesabu na mama alikuwa mtunzi wa filamu.

Marejeo hariri

  1. "Meet the Woman Charged With Saving Wikipedia". TIME.com. Iliwekwa mnamo 2022-10-03. 
  2. "File:WMF Monthly Metrics Meeting May 1, 2014.ogv - Wikipedia". commons.wikimedia.org (kwa Kiingereza). Iliwekwa mnamo 2022-10-03. 
  3. "Knight Foundation invests in immersive technology". Microsoft In Culture (kwa en-US). Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo 2022-10-03. Iliwekwa mnamo 2022-10-03.