Katika elimuanga, maada ya giza (kwa kiingereza: dark matter) ni jinsi ya maada ya nadharia tete isiyoingiliana na mnururisho sumakuumeme. Maada ya giza inadokezwa na athari za mvutano zisizoweza kuelezwa vinginevyo na uhusianifu wa jumla kusipokuwa na maada zaidi isiyoonekana. Athari hizi hutokea katika muktadha wa uumbaji wa majarra,[1] lenzi za mvutano,[2] muundo wa ulimwengu kisasa, mwendo wa majarra katika mafungu ya majarra, na anisotropia za mnururisho wa chinichini wa ulimwengu.

Marejeo hariri

  1. Siegfried, T. (5 July 1999). "Hidden space dimensions may permit parallel universes, explain cosmic mysteries". The Dallas Morning News.
  2. Trimble, V. (1987). "Existence and nature of dark matter in the universe" (PDF). Annual Review of Astronomy and Astrophysics. 25: 425–472. Bibcode:1987ARA&A..25..425T.
  Makala hii kuhusu mambo ya sayansi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Maada ya giza kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.