Nyota maradufu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
multiple star system ni mfumo wa nyota mbili au zaidi. lakini, binary stars (nyota maradufu) ni mfumo wa nyota mbili tu.
Tengua pitio 1311046 lililoandikwa na 128.135.204.201 (Majadiliano)
Tags: Undo Reverted
Mstari 1:
[[Picha:Procyon A & B Couple Binaire.ogv|400px|thumb|Miendo ya nyota maradufu [[Procyon (nyota)|Procyon]] A na B katika [[Mbwa Mdogo (kundinyota)|kundinyota Mbwa Mdogo (Canis Minor)]] ya kuzunguka kitovu cha graviti cha pamoja]]
'''Nyota maradufu''' (kwa [[Kiingereza]]: ''binary star'', ''double star'' au ''multiple star system'') ni [[nyota]] [[mbili]] au zaidi zinazokaa karibu kwenye [[anga la ulimwengu|anga ya ulimwengu]] kiasi cha kuvutana kwa [[graviti]] yake hadi kuzungukana. Kwa lugha nyingine ni mfumo wa nyota mbili au zaidi(Multiple Star System). [[Idadi]] yake ni kubwa, zikizidi kutambuliwa kutokana na matumizi ya [[darubini]] za kisasa. Sehemu kubwa ya nyota angavu ni nyota maradufu au sehemu ya mfumo wa nyota zaidi ya mbili.<ref>[https://www.space.com/22509-binary-stars.html Binary Star Systems: Classification and Evolution], tovuti ya space com ya 23 Agosti 2013, iliangaliwa Januari 2018.</ref>
 
Nyota zinazoonekana [[Dunia|Duniani]] kuwa karibu si nyota maradufu halisi. Hali hii inaweza kutokea kama nyota mbili zinabahatika kuonekana karibu sana kwa mtazamaji kwenye Dunia ingawa hali halisi kuna [[umbali]] mkubwa kati yao na haziathiriani kwa graviti yake.