Kiini cha atomu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
[[Picha:
'''Kiini cha
Ndani ya kila atomu kuna tena chembechembe ndogo zaidi za aina tofauti, zinatajwa kama [[nyutroni]], [[protoni]] na [[elektroni]]. Muundo wa atomu ni kiini cha atomu ambako sehemu kubwa ya masi yake inapatikana kikizungukwa na elektroni zinazotembea kwa njia zao nje ya kiini.
[[Kiini]] kinaundwa na [[protoni]] na [[nyutroni]]<ref>isipokuwa katika atomi ya [[hidrojeni]] ambayo ni atomi ndogo kabisa, ina protoni 1 pekee katika kiini</ref> na hizi kwa pamoja huitwa "nyukleoni" <ref>kutoka [[lat.]] nucleus = kiini, yaani chembe za kiini</ref>. ▼
▲[[Kiini]] kinaundwa na [[protoni]] na [[nyutroni]]<ref>isipokuwa katika
Kiini chenyewe kina [[masi]] karibu yote ya atomi ndani yake (mnamo 99.9%, [[elektroni]] kwenye mzingo huwa na masi ndogo mno).▼
▲Kiini chenyewe kina [[masi]] karibu yote ya
[[Kipenyo]] cha kiini kipo kati ya [[femtomita]] 1.75 kwa [[hidrojeni]] (sawa na kipenyo cha nyutroni moja)<ref name=Nature>
Line 15 ⟶ 17:
|journal=Nature
|doi=10.1038/news.2010.337
}}</ref> hadi fentomita 15 kwa
==Ugunduzi==
Ugunduzi wa [[nadharia ya atomu]] na wa kuwa ndani yake kuna [[elektroni]] ulileta maswali mengi ambayo awali hayakupatiwa majibu. Atomu ilijulikana [[kiumeme]] kuwa haikuwa na [[chaji]] ya aina yoyote, lakini chembe cha [[elektroni]] zilizomo ndani ya atomu zilijulikana kuwa na [[chaji hasi]] za [[umeme]]. Hivyo lazima ndani ya atomu (ambayo haina chaji) kutakuwa na chaji aina nyingine (ambayo ni lazima iwe [[chaji chanya]]) ambayo inaletwa uwiano sawa wa kuifanya atomu kwa jumla kutokuwa na chaji. Fumbo gumu zaidi lilikuwa ni kwa namna gani hizo aina mbili za chaji zinaweza kuwa zimejipanga ndani ya atomu.
[[Picha:
=== Muundo wa J. J. Thomson ===
Mawazo ya kwanza kabisa kuhusu muundo wa atomu yalitoka kwa [[J.J. Thomson]]. [[Mwanasayansi]] huyu alipendekeza kuwa atomu ni kama [[mpira]] ambao katika kuta zake una chaji chanya zenye ukubwa sawa na zile za hasi ambazo zinaelea ndani ya mpira. Hii ina maana kama utaweza kufikiria kuweza kuingiza [[mkono]] katika atomu na kama una bahati unaweza kutoa elektroni ndani ya atomu.
Line 25 ⟶ 28:
Muundo huu uliweza kuelezea kwa nini atomu hazina chaji, lakini ulishindwa kujibu maswali mengi yaliyotokana na [[nadharia]] nyingine nyingi ambazo zilikuwa zimethibitishwa, hasa zile za [[umeme]] na [[usumaku]].
=== Namna kiini (nyukliasi) ilivyogunduliwa ===
Muundo wa atomu wa J. J. Thomson haukuwa na nyukliasi. Mwaka [[1909]] [[H. Geiger]] na [[E. Marsden]] walichapisha matokeo ya mlolongo wa majaribio waliyofanya katika [[chuo kikuu cha Manchester]] chini ya uongozi wa [[Ernest Rutherford]]. Rutherford alikuwa na mvuto mkubwa juu ya [[sayansi]] ya [[mionzi ya radioaktiviti]] ambayo ilianzishwa na [[Becquerel]] na [[Curies]].
Line 34 ⟶ 37:
Kutokana na matokeo iliochenya kuwa ni sehemu ndogo sana ya chembe alfa ndizo zilizobadilishwa njia kwa nyuzi nyingi. Lakini la msingi hapa si uchache wake, bali ni nini kilisababisha hii [[tabia]] isiyotarajiwa.
Kuwepo kwa kiini ndani ya
Wakati huo, nusu kipenyo cha atomu kilikuwa kimekadiriwa kwenye mita 2 × 10<sup>-10</sup>, hivyo haikuchukua muda kuona kuwa chaji chanya ndani ya atomu zitakuwa ndani ya tufe ambalo nusu kipenyo chake ni kama mara 10000 hadi 100000 ya nusu kipenyo cha atomu yote.
Line 53 ⟶ 56:
=== Namba ya atomu ===
Uthibitisho kuwa chaji chanya katika kiini zilikuwa chembe za msingi na muhimu ulitolewa na [[H. G. J. Moseley]]. Katika majaribio yake ya mwaka [[1913]] katika [[chuo kikuu cha Manchester]], Moselay aligongesha elementi kadhaa na [[mionzi ya cathode]] (elektroni). [[Nishati]] iliyotolewa na mionzi ilisababisha elementi kutoa [[mionzi X]]. Moselay alichunguza uhusiano kati ya [[mizunguko]] (frequency) ya mionzi X na asili ya elementi iliyokuwa inaitoa. Kwa njia hiyo Moselay aliweza kuonyesha kuwa [[namba ya
=== Ugunduzi wa neutroni ===
Line 63 ⟶ 66:
Msingi wa ugunduzi wa Chadwick ulikuwa kama ifuatavyo. Aliweka [[chanzo]] cha chembe za alpha kwenye upande mmoja wa foili ya [[beryllium]]. Upande mwingine wa beryllium kulikuwa na [[kinasa chembe]] (detector) cha alpha ambacho kiligundua uwepo wa ayoni. Katika mpangilio huu, ayoni hazikuweza kugundulika katika kinasa chembe. Kisha [[mche]] wa [[paraffin]] uliwekwa katikati ya beryllium na kinasa chembe, hali iliyopelekea kinasa chembe kugundua uwepo wake. Hivyo lazima kutakuwa na chembechembe zilizotoka katika beryllium na kusababisha [[pambano]] ambalo lilipelekea ayoni kugundulika katika kinasa chembe za ayoni. Hizi chembechembe zilikuja kugundulika kuwa ni neutroni.
Baada ya kugundua uwepo wa nyutroni, [[Dmitri Ivanenko]] alitunga maelezo ya kiini cha
[[Idadi]] ya protoni katika kiini inafanya [[namba
Ukubwa wa kiini cha
Ilhali karibu masi yote imo ndani ya kiini, nafasi yake ni ndogo na sehemu kubwa ya nafasi ya
Kwa hali ya kawaida
=== Ulinganifu wa elektroni, protoni na neutroni ===
Line 100 ⟶ 103:
== Hitimisho ==
Ni muhimu kufahamu kuwa ingawa atomu imeundwa na chembechembe tofauti, yenyewe kwa jumla haina chaji ya aina yoyote. Hii ni kwa sababu atomu zina idadi sawa ya protoni (chaji chanya) na elektroni (chaji hasi). Idadi ya neutroni (haina chaji) katika nyukliasi ya atomu si lazima iwe sawa na idadi ya protoni au elektroni. Tofauti hiyo ya neutroni katika nyukliasi za atomu ya elementi moja hupeleka kuwa na [[isotopes]] za elementi.
Elektroni hutembea kuzunguka nyukliasi ya
== Angalia pia ==
Line 114 ⟶ 117:
== Viungo vya nje ==
* [http://www.syvum.com/cgi/online/serve.cgi/squizzes/chem/
* [http://www.slideshare.net/guest5c8bc1/history-of-
* [http://nobeliefs.com/atom.htm Historia ya Atomu]
{{mbegu-kemia}}
[[jamii:
|