Alfabeti ya Kigiriki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
ki/wa kopti |
|||
Mstari 7:
Ni alfabeti [[mama]] ya lugha za [[Ulaya]], kwa sababu ni asili ya [[Alfabeti ya Kilatini]] ambayo ni mwandiko unaotumiwa leo [[dunia]]ni kushinda miandiko mingine. Ni pia asili ya alfabeti za [[Kikyrili]] na [[Wakopti|Kikopti]]. Kuna miandiko mingine ya [[Historia|kihistoria]] iliyotokana na Kigiriki.
Asili ya mwandiko huo ulikuwa alfabeti ya [[Kifinisia]] inayoaminiwa kuwa alfabeti ya kwanza kabisa.
Sehemu ya herufi zilizopokewa kutoka Kifinisia ziliachwa baadaye kwa sababu lugha haikuwa na [[sauti]] za kulingana nazo. Tangu [[mwaka]] [[300 KK]] sehemu ya juu ya alfabeti inayoonyeshwa kwenye sanduku ilikuwa herufi za kawaida na alama za chini hazikutumiwa isipokuwa kama alama za [[namba]].
|