Alfabeti ya Kigiriki : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
|||
Mstari 1:
{{Alfabeti ya Kigiriki kamili}}
'''Alfabeti ya Kigiriki''' ni [[
==Historia==
Mstari 7:
Ni alfabeti [[mama]] ya lugha za [[Ulaya]], kwa sababu ni asili ya [[Alfabeti ya Kilatini]] ambayo ni mwandiko unaotumiwa leo [[dunia]]ni kushinda miandiko mingine. Ni pia asili ya alfabeti za [[Kikyrili]] na [[Wakopti|Kikopti]]. Kuna miandiko mingine ya [[Historia|kihistoria]] iliyotokana na Kigiriki.
Asili ya mwandiko huo ulikuwa alfabeti ya [[Kifinisia]] inayoaminiwa kuwa alfabeti ya kwanza kabisa
Sehemu ya herufi zilizopokewa kutoka Kifinisia ziliachwa baadaye kwa sababu lugha haikuwa na [[sauti]] za kulingana nazo. Tangu [[mwaka]] [[300 KK]] sehemu ya juu ya alfabeti inayoonyeshwa kwenye sanduku ilikuwa herufi za kawaida na alama za chini hazikutumiwa isipokuwa kama alama za [[namba]].
Mstari 13:
Katika [[historia]] ndefu ya alfabeti hii [[matamshi]] ya alama yamebadilika pamoja na mabadiliko ya lugha yenyewe. [[Mwanafunzi]] wa [[Kigiriki cha Kale]] anayesoma maandiko ya [[Plato]] au [[vitabu]] vya [[Agano Jipya]] katika lugha asilia ataona shida akifika Ugiriki na kuwasikia Wagiriki wa leo: hata kama anaweza kusoma maandishi yote, hataelewa mengi.
== Matumizi ya herufi kama namba ==
Kila herufi ilikuwa pia na matumizi kama [[tarakimu]] ya [[namba]] kwa sababu Wagiriki wa Kale hawakuwa na alama za pekee
Kwa kutofautisha herufi na namba alama yake ilipewa mstari mdogo juu yake kama αʹ = 1, βʹ = 2, γʹ = 3. Kwa namba kuanzia 1,000 mstari upande wa kushoto uliongezwa, kwa mfano ͵α = 1,000, ͵β = 2000, ͵βηʹ = 2008.
== Matumizi ya
Herufi za Kigriki zinatumiwa sana katika [[hesabu]] na sayansi. Mifano inayojulikana zaidi ni matumizi ya '''α''', '''
Katika mahesabu ya [[duara]] namba '''[[pi|π]] (pi)''' ni muhimu sana.
|