Afrika ya Mashariki ya Kijerumani : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 26:
'''Afrika ya Mashariki ya Kijerumani''' (au: ya [[Kidachi]]; kwa [[Kijerumani]] ''Deutsch-Ostafrika -DOA-''; kwa [[Kiingereza]] ''German East Africa'') ilikuwa [[jina]] la [[koloni]] la [[Ujerumani]] huko [[Afrika ya Mashariki]] kati ya miaka [[1885]] na [[1918]]/[[1919]].
Eneo lake lilijumlisha nchi za kisasa za [[Tanzania]] bara (yaani bila [[Zanzibar]]), [[Burundi]] na [[Rwanda]]. Ilikuwa koloni kubwa kabisa la [[Dola la Ujerumani]].
 
==Eneo, mipaka na wakazi==
Mstari 44:
 
== Historia ya koloni ==
Historia ya koloni iliendeleailikuwa katikana awamu tatu:
# vyanzomwanzo kama koloni yala kampuni binafsi ([[Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki]]) kuanzia [[1885]] hadi kuporomoka kwa utawala wake mnamo [[1890]]
# koloni yala [[Dola la Ujerumani]] (jer.kwa Kijerumani ''Deutsches Reich'') kuanzia [[1891]]
# mwisho wa utawala wa Kijerumani wakati wa [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] kuanzia mwaka [[1916]] wakati jeshi kubwa la [[Uingereza]] na [[Afrika Kusini]] pamoja na [[Ubelgiji]] lilivamia, hadi kusalimishakusalimu amri kwa jeshi la [[Schutztruppe]] kwenye Novemba [[1918]]
 
Katika mapatano baada ya vita koloni iligawiwaliligawiwa kati ya Uingereza (ilipatailiyopata Tanganyika) na Ubelgiji (iliyopata Rwanda na Burundi). Kwa historia ya baadaye ilikuwa na maana ya kwamba walikabidhiwa maeneo ya koloni yala Kijerumani yala awali si kama [[mali]] kamili lakini kama [[maeneo ya kudhaminiwa]] kwa niaba ya [[shirikisho la Mataifa]] (mtangulizi wa [[Umoja wa Mataifa]] (UN).
 
=== Utangulizi ===