Njia Nyeupe : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 2:
[[Picha:Hubble2005-01-barred-spiral-galaxy-NGC1300.jpg|thumb|250px|Galaksi yetu jinsi inaaminiwa kuonekana vile kama tunaiangalia kutoka juu; picha ya galaksi ya mbali yenye mikono miwili ya parafujo]]
'''Njia Nyeupe''' (kwa [[
Hali halisi hii ni jinsi tunavyoona [[galaksi]] yetu ambamo [[jua]] letu na [[mfumo wa jua|mfumo wake]] ni sehemu yake.
Galaksi yetu imekadiriwa kuwa na nyota zaidi ya 300,000,000,000.
Galaksi ya jirani iliyo karibu angani inaitwa [[Andromeda]] na ina [[umbali]] wa miaka ya nuru [[milioni]] 2.5 Isipokuwa [[sayari]] za jua letu na [[kometi]] ''(zinazoonekana mara chache tu)'' na [[galaksi ya Andromeda]] ''(inayoonekana kama nyota 1)'', nyota zote ni kama jua letu.
== Kuonekana kwa Njia Nyeupe kutoka duniani ==
[[Nyota]] karibu zote
Si rahisi kuona nyota nyingi tukiwa [[Mji|mjini]], kwenye [[taa]] nyingi wakati wa usiku, kwa sababu mwanga wa taa za mjini unaakisiwa katika [[angahewa]] na kuzuia kuona mwanga kutoka nje ya angahewa.
Nyota zilizo nyingi za Njia Nyeupe hatuwezi kuziona wala
Uwezo wetu wa kuona nyota nyingi
== Muundo ==
Galaksi yetu ina umbo la parafujo (spirali) ya kisahani. Mahali petu pamoja na jua pako kando kiasi ndani ya uwiano wa kisahani hiki. Tuko takriban 2/3 ya umbali wa kipenyo kutoka kitovu cha kisahani.
== Marejeo ==
Line 27 ⟶ 33:
* [http://www.astro.caltech.edu/~george/ay20/Chiappini-MilkyWay.pdf Cristina Chiappini, The Formation and Evolution of the Milky Way, American Scientist, November/December 2001, pp. 506-515]
== Viungo vya
{{Commons category|Milky Way Galaxy}}
* [http://www.atlasoftheuniverse.com/galaxy.html The Milky Way Galaxy] from ''An Atlas of the Universe''
|