Mvua : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Vindhya.jpg|thumb|300px|Mawingu wa mvua mlimani]]
'''Mvua''' ni matone ya [[maji]] yanayoanguka chini kutoka
Mvua ni aina ya [[usimbishaji]]. Kama matone yafikia [[kipenyo]] cha zaidi ya [[milimita]] 0.5 huitwa mvua. Kama matone ni madogo zaidi kunaitwa [[manyonyota]]. Mgongoni mwa ardhi mvua imetapaka kisawasawa.
==Kutokea kwa mvua==
Asili ya mvua ni [[mvuke]] wa [[maji]] katika [[angahewa]]. Kiasi cha mvuke hewani kutajwa kama [[gramu]] za maji kwa [[kilogramu]] ya [[hewa]]. <ref>{{cite web|author=Steve Kempler|year=2009|url=http://daac.gsfc.nasa.gov/PIP/shtml/atmospheric_water_vapor_or_humidity.shtml|title=Parameter information page|publisher=[[NASA]] [[Goddard Space Flight Center]]|accessdate=2008-12-27 |archiveurl = https://web.archive.org/web/20071126083414/http://daac.gsfc.nasa.gov/PIP/shtml/atmospheric_water_vapor_or_humidity.shtml |archivedate = November 26, 2007}}</ref><ref>{{cite book |url=http://www.atmos.washington.edu/~stoeling/WH-Ch03.pdf| page=80|accessdate=2010-01-30|date=2005-09-12|author=Mark Stoelinga|title=Atmospheric Thermodynamics|publisher=[[University of Washington]]}}</ref> Kiasi cha [[unyevu]] (yaani maji) katika angahewa huitwa [[unyevuanga]].
==Tanbihi==
{{marejeo}}
{{mbegu-sayansi}}
|