Mfumo wa Jua : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
muundo
No edit summary
Mstari 5:
 
==Muundo wa mfumo wa jua==
Karibu [[masi]] yote ni ya jua lenyewe, lililolikiwa na [[asilimia ya]] 99.86 za masi ya mfumo wake. Kwa hiyo sayari zote kwa pamoja na asteroidi ni asilimia 0.14 tu.
 
[[Umbali]] kati ya jua na [[dunia]] yetu ni takriban [[kilomita]] [[milioni]] 150. Umbali huu huitwa „[[kizio astronomia]]“ ([[:en:astronomical unit]] AU). Sayari ya mbali ni [[Neptuni]] ikoambayo kwaina umbali wa vizio astronomia 30 kutoka kwa jua. Magimba ya nje sana yanazunguka jua kwa umbali wa vizio astronomia 50 au zaidi.
 
Pamoja na sayari kuna [[idadi]] kubwa ya [[violwa]] vingine. Vingi ni vipande vidogo vya [[mwamba]] vinavyokusanyika katika kanda 3 zenye [[umbo]] la mwirino ambazo ni [[ukanda wa asteroidi]], [[ukanda wa Kuiper]] na [[wingu la Oort]].
 
Sayari hupatikana kwa vikundi viwili. Jua linazungukwa kwanza yana sayari 4 za [[Utaridi]], [[Zuhura]], Dunia na [[Mirihi]] ambazo ni ndogo na ambazo ni sayari za mwamba kama dunia.
 
Baada ya [[njia mzingo]] wa Mirihi kuna pengo lenyela umbali wa vizio astronomia zaidi ya [[tatu]] na [[nusu]] hadi [[Mshtarii]]. Katika pengo hili linazunguka ukanda wa asteroidi mwenyewenye violwa malakhi[[lakhi]] kadhaa pamoja na sayari kibete ya [[Ceres]].
 
Nje ya ukanda wa asteroidi hufuata kundi la sayari za gesi ambazo ni kubwa kushinda sayari za ndani. Sehemu kubwa ya masi yao si mwamba bali gesi iliyoganda na kuwa imara kutokana na baridi kali.
 
Nje ya ukanda wa asteroidi hufuata kundi la sayari za gesi ambazo ni kubwa kushinda sayari za ndani. Sehemu kubwa ya masi yaoyake si mwamba bali gesi iliyoganda na kuwa imara kutokana na [[baridi]] kali.
 
== Sayari za jua letu ==
Kuna magimba 8 yanaozungukayanayozunguka jua letu na kuitwa sayari. Hadi [[Zohali]] (ing. Saturn) zinaonekana kwa macho na tangu zamani zilijulikana kwa majina yao. Sayari ya [[saba]] na [[nane]] ziligunduliwa tu tangu kupatikana kwa [[darubini]]. Hadi mwaka [[2006]] [[Pluto]] iliyopo nje ya Neptuni ilihesabiwa kiuwakuwa sayari, lkinilakini tangu azimio la [[Umoja wa Wanastronomia]] Pluto inaitwa sasa „sayari kibete“ pamoja na menginenyingine, si sayari kamili tena.
 
Sayari ambazo zipo katika mfumo wa jua ni kama zifuatazo:
 
[[Namba]] zote zinazotaja sifa mbalimbali za sayari zinaonyesha [[kipimo]] kulingana na [[tabia]] za dunia yetu kuwa "1". Kuhusu ma[[jina]] ya sayari kadhaa kuna mchanganyikomkanganyiko katika [[kamusi]] na [[vitabu]]. Pale ambako jina au [[umbo]] tofauti la jina ni la kawaida linaonyeshwa katika ma[[bano]] kama (jina). Majina yanayotumiwa katika vitabu kadhaa, hasa vya [[shule ya msingi|shule za msingi]], bila kuwa na uhakika yanaonyeshwa katika mabano ya [[italiki]] pamoja na [[alama ya swali]] kama ''(? jina)''. <ref>Linganisha ukurasa wa [[majadiliano:sayari]]</ref>
{| class="toccolours" border=1 cellspacing=0 cellpadding=2 style="text-align:center; border-collapse:collapse;"