Salibu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 10:
 
Nyota zake zilionekana tayari kwa [[Klaudio Ptolemaio]] miaka 2,000 iliyopita akazihesabu kuwa sehemu ya Kantarusi (Centaurus). Kutokana na [[badiliko la mwelekeo wa mhimili wa Dunia]] nyota zake hazionekani tena katika nusutufe ya kaskazini. [[Johann Bayer]] alipotunga orodha yake ya nyota bado alizieleza kama sehemu za Kantarusi alipomrejelea Ptolemaio. Lakini jina la Crux lilianza kuenea baadaye na kubaki.<ref>Linganisha Allen, Names of Stars, uk. 185 ff</ref>.
 
 
==Marejeo==