Neno : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Bot: Migrating 1 interwiki links, now provided by Wikidata on d:Q8171
No edit summary
Mstari 1:
'''Neno''' ni sehemu fupi ya [[lugha]] yenye maana. Ni sauti inayotamkwa au kuandikwa pamoja na kutaja jambo fulani.mfano [[moja]]
maana nyingine.Neno ni mkusanyiko wa silabi na konsonati
 
Neno linaweza kuwa fupi lenye [[mofimu]] (yaani sauti inayowakilisha maana fulani) moja tu au kuwa ndefu lenye mofimu mbalimbali.
 
Mstari 11:
Si wazi mara moja kwa wakilizaji wanaosikia haya mara ya kwanza kama ni neno moja au maneno mawili.
 
Wataalamu wa lugha hutofautiana aina za maneno kama vile [[nomino]], [[kitenzi]], [[kivumvishi]], [[kielezi]], [[kiunganishi]] [[kiwakilishi]]na vingine. [[kihishi]]
 
Maneno kwa pamoja yanaunda [[sentensi]] yakifuata masharti ya [[sarufi]] katika lugha.