Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
Mstari 57:
Nguvu ya Marekani ilionekana haraka na [[bahati]] ya Ujerumani ilipungua sana. Austria-Hungaria ilidhoofishwa vilevile.
 
Mwaka 1918 iliona mwisho wa vita. Jeshi la Uturuki lilishindwa hadi serikali ya milki kuomba kusimamishwa kwa vita. Mataifa ya ushirikiano yalikaribia mipaka ya Ujerumani na hapo mgomo wa wanamaji ilifuatwa na migomo ya wafanyakazi katika viwanda vikubwa iliyosababisha mapinduzi yaliyoangusha serikali ya Kaisari Wilhelm II. Migomo ya wanajeshi ililazimisha Austria-Hungaria kuomba kusimamisha vita.
Mwaka 1918 iliona mwisho wa vita. Milki za Austria na Uturuki zilikwisha zikagawiwa na sehemu zao zilikuwa nchi mpya au nchi zilizoundwa upya.
 
Mwaka 1918 iliona mwisho wa vita. Milki za Austria na Uturuki zilikwisha zikagawiwa na sehemu zao zilikuwa nchi mpya au nchi zilizoundwa upya.
 
== Mkutano wa Paris ==