Simu : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 3:
'''Simu''' ''(kutoka [[Kiarabu]] <big>سیم</big>, sim, inayomaanisha "waya")'' ni chombo cha [[umeme]]. Kimaana ni chombo cha [[mawasilianoanga]].
 
Matumizi ya simu, ni kwa ajili ya watu wawili walio katika sehemu mbili tofauti na wanaweza kuongea.
 
Awali simu ilihitaji iunganishwe na nyaya. Lakini leo hii simu inaweza kutumia [[redio]]. Hii nayo inaitwa [[nyayatupu]], [[siwaya]] au [[simu bila waya]].
Mstari 11:
Tangu mwisho wa [[karne ya 20]] kuna aina mpya ya simu iliyoenea ambayo ni [[simu ya mkononi]]. Ingawa haistahili kweli kuitwa tena "simu" kwa maana asilia kwa sababu hakuna simu ni aina ya [[mtambo]] wa [[mawasiliano]] uliosambaa haraka sana.
 
Katika nchi nyingi za [[Afrika]] simu hizi zina faida ya pekee, kwambakwasasababu zinaruhusu mawasiliano hata pale ambako nyaya za [[Posta]] hazifikiihazifiki.
 
{{mbegu-sayansi}}