Nyungunyungu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
dNo edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 36:
*[[Tumakidae]]
}}
'''Nyungunyungu''' ni [[mnyama|wanyama]] wadogo wenye [[umbo]] la [[neli]] wa [[oda]] [[Megadrilacea]] katika [[faila]] [[Annelida]].
Kwa kawaida huishi katika [[udongo]] akijilisha kwa [[viumbehai]] na waliokufa.
[[Mfumo wa mmeng'enyo wa chakula]] wa nyungunyungu unanyumbua kupitia [[urefu]] wa [[mwili]] wake, na anaendesha [[upumuaji]] kupitia [[ngozi]] yake.
Mfumo wa kupeleka [[Kiowevu|viowevu]] ni maradufu na una uvungu wa mwili ([[silomi]]) ambao ndani yake [[giligili]] ya silomi inazunguka na [[mfumo wa mzunguko wa damu|mfumo duni wa mzunguko wa damu]] wenye mtiririko kamili.
Nyungunyungu wana [[mfumo wa neva]] wa kati ambao una [[ganglia]] [[mbili]] juu ya [[mdomo]].
Nyungunyungu ni [[huntha|mahuntha]] na hubeba [[ogani]] zote za kiume na za kike. Hawana [[mifupa]], lakini hudumisha muundo wa mwili kwa njia ya vyumba vya silomi vilivyojaa na giligili na ambavyo hufanya kazi ya [[kiunzi]] cha [[mtuamomaji]].
==[[Familia (biolojia)|Familia]] zinazotokea [[Afrika]]==
* Acanthodrilidae
* Almidae
|