Mgahawa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Ukurasa ulianzishwa kwa kuandika 'Mgahawa ni mahali ambapo chakula kilichopikwa kinauzwa kwa umma, na ambapo watu huketi katika viti maalum vilivyoandaliwa pamoja na meza na kula...' |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Mgahawa''' (au '''mkahawa''' kutoka [[kinywaji]] "[[kahawa]]") ni mahali ambapo [[chakula]] kilichopikwa kinauzwa kwa [[umma]], na ambapo watu huketi katika [[viti]] maalum vilivyoandaliwa pamoja na [[meza]] na kula.
Migahawa hiyo huwa na [[vyakula]] tofauti, kwa mfano [[wali]], [[nyama]],[[biliani]], [[viazi]], [[mayai]] Pia migahawa huwa na [[vinywaji]] kama vile [[soda]], [[maji]], [[maziwa]],[[juisi]], [[chai]] Migahawa hiyo hupatikana kwa wingi [[mji|mjini]] kwa mfano katika [[ Mgahawa hutoa [[huduma]] yake kwa [[bei]] ya kawaida. Baadhi ya [[watu]] ambao hupendelea kula kwenye migahawa ni [[wanafunzi]], [[walimu]] {{mbegu-utamaduni}}
[[Jamii:Uchumi]]
|