Dizeli : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
d Riccardo Riccioni alihamisha ukurasa wa Diseli hadi Dizeli: usahihi wa tahajia
Kusahihisha
Tags: Mobile edit Mobile web edit
Mstari 7:
Kwa ajili ya matumizi ya injini mbalimbali matokeo ya mwevusho yanachanganywa na kukorogwa kwa shabaha ya kupata diseli sanifu; mafuta asilia hutofautiana kikemia kwa hiyo viwango vya viowevu vyepesi na vizitoa vinavyopatikana katika mvweusho vinatofautinana kila mara.
 
Injini za dizeli ni kubwa na nzito zaidi kuliko injini za petroli kwa hiyo zinatumiwa zaidi kwa ma[[lori|malori]], mabasi au kwenye [[meli]]. Hii ni sababu ya kwamba katika nchi nyingi diseli huuzwa kwa bei nafuu kwa sababu serikali inataka kupunguza gharama za usafirishaji wa bidhaa zinazobebwa na malori hasa.
Lakini katika nchi kadhaa kuna pia [[motokaa]] ndogo ya abiria yenye injini za diseli; hata kama bei ya injini ya diseli inapaswa kuwa kubwa kiasi kuliko injini ya petroli ole bei nafuu ya fueli hii inasababisha watu wengi kutafuta magari yenye injini ya diseli.