Telegrafu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Image:OptischerTelegraf.jpg|right|250px|thumb|Telegrafu ya kihistoria nchini [[Ujerumani]] ilitumia alama za [[mikono]] ya [[ubao]] kwa kuonyesha herufi.]]
[[Picha:International Morse code.png|thumbnail|[[Alfabeti ya Morse]] ilikuwa msingi
[[picha:Seaman send Morse code signals.jpg|thumb|[[Mwanamaji]] anatumia [[taa]] ya pekee kwa ujumbe wa nuru akitumia alama za Morse.]]▼
'''Telegrafu'''
Telegrafu zilizotumiwa wakati wa [[karne za 19]] na [[Karne ya 20|20]] zilipitisha [[ujumbe]] kwa [[mkondo wa umeme]] uliopitia kwenye [[waya]].
▲'''Telegrafu''' ''([[ing.]] telegraph; kutoka [[gir.]] τῆλε tele "mbali", na γράφειν graphein "andika")'' ni njia ya kupeleka habari andishi kwa mpokeaji wa mbali bila kubeba barua kwake.
▲[[Picha:International Morse code.png|thumbnail|Alfabeti ya Morse ilikuwa msingi kwa uenezaji wa telegrafu]]
Kwa njia hii [[herufi]] za [[alfabeti]] zilitafsiriwa kwa alama zilizoweza kupitishwa kirahisi.
Baada ya majaribio mbalimbali, mbinu
[[Mawasiliano]] kwa telegrafu yaliwezesha kwa mara ya kwanza kutuma habari kote duniani katika [[muda]] mfupi. [[Magazeti]] na [[Kampuni|makampuni]] makubwa ya [[Uchumi|kiuchumi]] yalitangulia kutumia teknolojia hii, na [[serikali]] na [[jeshi]] zilifuata. Nyaya kubwa zilipitishwa kutoka nchi hadi nchi na pia kwenye [[tako la bahari]] kwa mawasiliano baina ya [[Bara|mabara]]. Katika karne ya 20 yalianza pia matumizi ya [[simu za upepo]] kwa habari za telegrafu.
Makampuni ya telegrafu zilipokea ujumbe ulioitwa "[[telegramu]]" kutoka wateja na kuzituma kwa
Tangu kupatikana kwa simu matumizi ya telegrafu yalipungua lakini bado zilitumwa hadi kupatikana kwa simu za mkononi na barua pepe. Katika nchi mbalimbali huduma zilifungwa kuanzia mwaka 2000 hivi, katika nchi nyingine huduma bado iko. <ref>{{cite web |url= http://www.npr.org/templates/story/story.php?storyId=5186113 |title=Western Union Sends Its Last Telegram : NPR |first=Robert|last=Siegel |work=npr.org |date=February 2, 2006 |accessdate=November 26, 2011}}</ref>▼
▲[[picha:Seaman send Morse code signals.jpg|thumb|Mwanamaji anatumia taa ya pekee kwa ujumbe wa nuru akitumia alama za Morse]]
Tangu kupatikana kwa [[simu]] matumizi ya telegrafu yalipungua lakini bado zilitumwa hadi kupatikana kwa [[simu za mikononi]] na [[barua pepe]].
▲
==Marejeo==
{{reflist}}
==Viungo vya nje==
{{commonscat|Telegraphy}}
{{tech-stub}}
[[Category:Mawasiliano]]
|