Mafuta (chakula) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
d ChriKo alihamisha ukurasa wa Fati hadi Mafuta (chakula): Maneno ya Kiswahili yanapendelewa |
Masahihisho |
||
Mstari 1:
'''Mafuta''' au '''shahamu''' ni sehemu za [[chakula]] pamoja na [[wanga]], [[protini]] na [[vitamini]]. Neno "fati" (kutoka [[Kiing.]] [[w:fat|fat]]) afadhali lizuiwe. Vyakula vilivyo na mafuta mengi ni k.m. [[parachichi|maparachichi]], [[karanga]], [[korosho|makorosho]], [[mbegu]] kama [[alizeti]] na [[siagi]].
▲[[Picha:CashewSnack.jpg|thumb|250px|Korosho]]
[[Picha:Avocado with cross section edit.jpg|alt= parachichi|thumb| Parachichi ]]
Vyakula hivi humsaidia [[mtu]] kwa kumpatia [[joto]] hasa wakati wa [[baridi]], pia huchangia katika [[uzalishaji]] wa [[nishati]] na [[nguvu]] kwa ajili ya mwili na pia hufanya [[kazi]] mbalimbali katika [[mmeng'enyo wa chakula]] [[Tumbo|tumboni]].
[[File:Fatmouse.jpg|left|thumb|
Vyakula hivi huhitajika kwa asilimia chache sana ndani ya [[mwili]]. Vyakula vya
{{mbegu-biolojia}}
|