Sukulenti : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
Tafsiri ya Aloe vera |
d Mabadiliko madogo machache |
||
Mstari 1:
[[Picha:Split Aloe.jpg|300px|thumbnail|Jani la [[mshubirimani]] lililokatwa; utomvu unatoka nje|link=https://sw.wikipedia.org/wiki/Picha:Split_Aloe.jpg]]'''Sukulenti''' ([[lat.]] ''sucus'' = utomvu; [[ing.]] ''succulents'') au '''Mimea yenye utomvu mwingi''' ni [[mimea]] iliyojitohoa kwa maisha katika mazingira [[Tabianchi#B: Tabianchi yabisi au nusuyabisi|yabisi]].
Mimea hii ya [[Familia (biolojia)|familia]] na [[jenasi]] tofauti ina uwezo wa kutunza maji ndani ya [[
Kwa hiyo "sukulenti" si jina la spishi au familia maalumu ya mimea lakini neno hili inataja tu umbo la
Pia kuna tofauti kati ya watalaamu eti ni nini inayostahili kuitwa sukulenti. Wengi wanaangalia majani na mashina pekee lakini kuna wengine wanaoingiza mle pia mizizi inayotunza maji lakini wengine hawakubali.
|