Sumeri : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
vigae vya mwandiko wa kikabari |
No edit summary Tags: Mobile edit Mobile web edit |
||
Mstari 6:
Maandishi yao yamehifadhiwa kwa sababu waliandika mengi kwa kutumia [[mwandiko wa kikabari]] kwenye [[vigae vya mwandiko wa kikabari]] yaani vipande vya [[udongo]] mbichi wa [[ufinyanzi]] na kuvichoma.
Imetambuliwa pia ya kwamba waliweka misingi muhimu kwa [[kalenda]] za leo kwa kugawa [[siku]] katika [[saa]] 24 na [[saa]] katika [[dakika]] 60.pia waliweka kumbukumbu ya mifugo na mazao katika maandishi.
Wasumeri waliishi katika [[dola-mji|dola-miji]] iliyotawaliwa na [[mfalme|wafalme]] au ma[[kuhani]].
|