Mshtarii : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 3:
 
[[Picha:Jupiter Earth Comparison.png|thumb|left|Ulinganishi wa ukubwa wa [[Dunia]] yetu (kushoto) na Mshtarii pamoja na "doa jekundu" inayozunguka katika [[angahewa]] ya Mshtarii]]
Mshtarii ni sayari kubwa kabisa ya jua letu. [[MasiMaada]] yake inazidi mara mbili na nusu masimaada ya sayari zote nyingine kwa pamoja.
 
== Angahewa ==
[[Uso]] wa sayari hauonekani kwa sababu [[angahewa]] nzito inafunika kila sehemu. Maada ya angahewa ni hasa [[hidrojeni]] na [[heli]]. Kutokana na uzito wa angahewa [[shindikizo]] ndani yake inaongezeka sana katika vilindi vyake na kusababisha [[gesi]] za angahewa kuingia katika hali ya [[giligili]] (majimaji) inayobadilika kuwa [[mango]] (imara) ndani zaidi. Zamani iliaminika ya kwamba sayari yoteyenyewe ni ya gesi iliyoganda lakini siku hizi wataalamu wa [[astronomia]] huamini ya kwamba kuna kiini cha [[mwamba]] au [[metali]].
 
Doa jekundu linaloonekana usoni mwa angahewa ni [[dhoruba]] ya [[tufani]] kubwa sana iliyotazamwa mara ya kwanza miaka 300 iliyopita wakati [[darubini]] za kwanza zilipopatikana. Duniani tufani zinapotea kwa kawaida baada ya [[wiki]] kadhaa lakini doa jekundu limeendelea bila kusimama.
 
== Miezi ==
Mshtarii ina miezi 63 zilizotambuliwa hadi mwaka [[2005]]. Ukubwa wa [[Io]] unakaribia [[kipenyo]] cha [[Utaridi]] ukipita kile cha [[Pluto]]. Mwezi mdogo kabisa wa Mshtarii unajulikana kwa namba tu na una kipenyo cha [[km]] 1.
 
Miezi minne mikubwa ilitambuliwa mwaka [[1610]] na [[Galileo Galilei]] aliyekuwa kati ya wanaastronomia wa kwanza waliotumia darubini. Ndiyo [[Io (mweziMshtarii)|Io]], [[Europa (mweziMshtarii)|Europa]], [[GanymedGanimedi (mweziMshtarii)|GanymedGanimedi]] na [[Kallisto (mweziMshtarii)|Kallisto]]. Ukubwa wa Ganimedi unakaribia [[kipenyo]] cha [[Utaridi]] ukipita kile cha [[Pluto]]. Mwezi mdogo kabisa wa Mshtarii unajulikana kwa namba tu na una kipenyo cha [[km]] 1.
 
==Tanbihi==