Ndoa : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:WikiWed.jpg|thumb|right|''Pete'', mfano wa ndoa]]
'''Ndoa''' ni muungano wa maisha yote kati ya watu wawili au zaidi unaokubaliwa na kuheshimiwa na jamii.
Katika [[utamaduni]] wa [[nchi]] nyingi uhusiano huo ni kati ya [[mwanamume]] mmoja na [[mwanamke]] mmoja tu na unalenga ustawi wao na [[uzazi]] wa [[watoto]] katika [[familia]].
Mstari 6:
Katika nchi nyingine inakubalika ndoa kati ya watu wawili ambao mmojawao ana au anaweza kuwa na mwenzi au wenzi wengine pia ([[mitara]]), hususan ndoa ya mwanamume mmoja na wanawake zaidi ya mmoja. Kumbe kwingine hilo ni [[kosa la jinai]].
Mara nyingi [[harusi]] inafanyika kwa [[ibada]] maalumu kadiri ya [[dini]] ya wahusika.
|