Zohali : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 45:
 
== Bangili za Zohali ==
Tabia ya pekee ya Zohali ni bangili zake. Mtu wa kwanza wa kuziona alikuwa [[Galileo Galilei]] alipoielekezaalipotazama darubinisayari yakehii kuelekeakwa sayaridarubini hiyoyake. Lakini Galileo alishindwa kutambua alichoona kutokana na kasoro za darubini yake. Aliandika wakati ule ya kwamba Zohali ilikuwa na "masikio". Mwaka 1655 Mholanzi [[Christiaan Huygens]] aliweza kutumia darubini kubwa zaidi akatambua "masikio" ya Galilei kuwa bangili inayozunguka sayari.
 
Siku hizi imejulikana ya kwamba bangili ni vipande vya barafu, vumbi na mawe. Vipande vyake vina ukubwa kati ya [[milimita]] chache hadi mita kadhaa kama motokaa. Unene wa bangili ni mita mamia kadhaa.
 
Tangu kuboreka kwa darubini na kupita kwa vipimaanga karibu na sayari za mbali bangili zimetambuliwa pia kwa sayari za Mshtarii, Uranus na Neptuni lakini ni dhaifu hazionekani kwa darubini sahili ya mkononi.
 
==Marejeo==