Lava (volkeno) : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
<sup>Kwa kutaja watoto wa wadudu angalia makala ya [[lava]]</sup>
[[File:Lava Lake Nyiragongo 2.jpg|thumb|right|300px|Ziwa ya lava kwenye [[Mlima Nyiragongo]] katika [[Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo]]]]
'''Lava''' (kutoka [[
Lava inatoka nje kwa kawaida wakati wa [[mlipuko wa volkeno]]. Inaweza kutoka pia katika [[ufa]] kwenye [[ganda la dunia]].
Wakati wa kutoka hali yake ni kiowevu yenye [[halijoto]] kati ya 600[[°C]] hadi 1200
Ikitoka nje ya kasoko inaweza kuwa kama [[mto]] wa [[moto]]. Mwendo wake hutegemea na mnato wake yaani kama hali yake ni zaidi majimaji au ujiuji. Kadiri inavyoenea mbali na kasoko inapoa na kuwa mwamba.
Ikipoa inaganda na kuwa [[mwamba (jiolojia)|mwamba]] imara.
==Picha==
<gallery>
Image:Stromboli Eruption.jpg|Mlipuko wa volkeno ya [[Stromboli]] ([[Italia]]) - kile chekundu kwenye picha ni lava.
Image:Aa_large.jpg|Mto wa lava kwenye volkeno ya [[Kilauea]] ([[Hawaii]])
Image:PahoehoeLava.jpg|Lava ikipoa inaweza kuonekana hivyo.
Line 21 ⟶ 22:
== Marejeo ==
<references/>
{{mbegu-jio}}
[[Jamii:Volkeno]]
|