Hali ya hatari : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
'''Hali ya hatari''' ni hali ambayo ikitangazwa inawezesha [[serikali]] kufanya vitendo ambavyo kwa kawaida hairuhusiwi kufanya kisheria. Serikali inaweza kutangaza hali hiyo wakati wa maafa, machafuko ya kiraia au [[vita]]. Tangazo la hali ya hatari huwatahadharisha wananchi kubadilisha [[maisha]] yao ya kawaida na huruhusu [[vyombo vya
Hali ya hatari pia inaweza kutumika kama [[kisingizio]] cha kutupilia mbali [[uhuru]] na [[haki]] zilizotolewa na [[katiba]]. Utaratibu na uhalali wa kufanya hivyo hutofautiana
Katika baadhi ya nchi, ni kinyume cha [[sheria]] ya kurekebisha sheria ya hali ya hatari au [[katiba]] ya wakati wa hali ya hatari. Katika nchi nyingine kuna uhuru wa kubadilisha sheria yoyote au haki zilizotolewa na katiba wakati wowote [[bunge]]
== Sheria kulingana na nchi ==
=== Kenya ===
[[Mwaka]] [[1952]], serikali ya kikoloni ya [[Kenya]], ikiongozwa na [[
[[Katiba ya Kenya]] inakubali hali ya hatari wakati wa [[maafa asilia]], vita, machafuko ya kisiasa au hali nyingine yoyote inayohitaji hali
=== Uhabeshi ===
Hali ya hatari katika nchi ya [[Uhabeshi]] ilitangazwa [[Oktoba]] mwaka [[2016]] na aliyekuwa [[waziri mkuu]], [[Haile Mariam Desalegne|Hailemariam Desalegn]], baada ya [[Waoromo]] kuandamana<ref name=":0">{{Citation|title=Legal Analysis of Ethiopia’s State of Emergency|date=2016-10-30|url=https://www.hrw.org/news/2016/10/30/legal-analysis-ethiopias-state-emergency|work=Human Rights Watch|language=en|access-date=2018-08-05}}</ref>. Sheria ya hali ya hatari iliwataka [[Mwanadiplomasia|wanadiplomasia]] kutosafiri zaidi ya [[km]] 40 kutoka [[Addis Ababa]], na kutokuwa na [[mawasiliano]] na vikundi vilivyosemwa kuwa [[
Hali ya hatari ilitangazwa tena [[Februari]] mwaka [[2018]] kwa miezi [[sita]], siku moja baada ya Hailemariam Desalegn kujiuzulu<ref>{{Cite web|url=https://www.dw.com/sw/sheria-ya-hali-ya-hatari-ethiopia-na-migodi-magazetini/a-42710678|title=Sheria ya hali ya hatari Ethiopia na Migodi Magazetini {{!}} DW {{!}} 23.02.2018|author=Deutsche Welle (www.dw.com)|language=sw|work=DW.COM|accessdate=2018-08-05}}</ref><ref>{{Cite web|url=http://taifaleo.nation.co.ke/index.php/hali-ya-hatari-nchini-ethiopia-kudumu-kwa-miezi-sita-ijayo/|title=Hali ya hatari nchini Ethiopia kudumu kwa miezi sita ijayo – Taifa Leo|language=sw|work=taifaleo.nation.co.ke|accessdate=2018-08-05}}</ref>. Juni mwaka 2018
== Marejeo ==
{{mbegu-sheria}}
[[Jamii:Serikali]]
[[Jamii:Sheria]]
|