Boma la Kale, Dar es Salaam : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
Mstari 1:
'''Boma la Kale''' ni [[jengo]] la [[Historia|kihistoria]] [[Mji|mjini]] [[Dar es Salaam]]. Pamoja na [[Atiman House]] iko kati ya majengo mawili yaliyobaki na vyanzo wa mji huu tangu nayakati zilizotangulia [[Afrika ya Mashariki ya Kijerumani|ukoloni wa Kijerumani]]<ref>Sutton, J.E.G. (1970). "Dar es Salaam: a sketch of a hundred years". Tanzania Notes and Records (71): 4–5</ref>.
 
==Nyumba ya wageni kabla ya ukoloni==
[[Nyumba]] hii ilijengwa [[mwaka]] [[1866]] wakati [[Sultani]] [[Sayyid Majid|Sayyid Majid bin Said]] aliambuaaliamua kuanzisha makao mapya [[Bara|barani]] baada ya kuchoka [[maisha]] ya kule [[Zanzibar]] akaita jumba jipya "Dar es Salaam" yaani "jumba la amani, utulivu". [[Jumba]] la Sultani lilijengwa pamoja na majengo mengine na Boma la Kale la leo lilikuwa nyumba ya kupokelea [[wageni]] wa Sultani.

Jinsi ilivyokuwa kawaida katika [[ujenzi]] wa nyumba za [[Waswahili]] wenye uwezo, [[Ukuta|kuta]] zilijengwa kwa kutumia [[matumbawe|mawe ya matumbawe]]; kwa [[ghorofa]] [[dari]] ilitengenezwa kwa kufunga nafasi kati ya kuta kwa magogo ya [[mikoko]] yenye [[ubao]] ambao huliwi na [[wadudu]]. Kwa hiyo [[urefu]] wa mikoko iliyopatikana iliamulia [[upana]] wa vyumba, ambao ni takriban [[mita]] 3.
 
==Kuimarishwa wakati wa Vita ya Abushiri==
Baada ya [[kifo]] cha Sayyid Majid, alifuatwa na [[Sayyid Barghash]] ambaye hakupenda kuendelea na mradi wa makao mapya., Majengohivyo majengo yalikaa tu.

Mwaka [[1888]] sultani mpya [[Sayyid Khalifa]] aliamua kukodikukodisha [[mamlaka]] juu ya [[pwani]] laya [[Tanganyika]] kwa [[Kampuni ya Kijerumani kwa Afrika ya Mashariki]]. [[Kampuni]] ilinunua majengo ya sultani ya Dar es Salaam pamoja na Boma la Kale na kuyatumia kama [[ofisi]] na makazi.

Mwaka uliofuata wenyeji wa pwani walipinga majarabio ya kampuni hii kuchukua mamlaka ya kiutawala mkononimikononi mwake. Katika [[Vita ya Abushiri]] vituo vya Wajerumani vilishambuliwa mahali pengi kuanzia [[Septemba]] 1888. Baada ya kupokea habari hizi kwenye kituo cha Dar es Salaam nyumba hii iliunganishwa kwa ukuta pamoja na jengo jirani na hivyo kuimarishwa kuwa [[ngome]]. Kuanzia mwezi wa [[Desemba]] 1888 kulikuwa na mashambulio dhidi ya Dar es Salaam.<ref>H.F. von Behr, Kriegsbilder aus dem Araberaufstand in Deutsch-Ostafrika, Leipzig 1891, uk 99 ([https://archive.org/details/kriegsbilderausd00behruoft online hapa kwenye archive.org])</ref>. Katika boma hili [[Wajerumani]] waliweza kujitetea kwa msaada wa wanamaji kutoka [[manowari]] [[SMS Möwe]] hadi kufika kwa [[Schutztruppe|jeshi la kikoloni la Schutztruppe]] kwenye [[Mei]] [[1889]].
 
==Matumizi ya kiofisi wakati wa ukoloni==
[[Utawala]] wa Kampuni ya Kijerumani uliporomoka katika vita ya Abushiri na sasa [[serikali]] ya [[Berlin]] iliingia kati na kuchukua utawala moja kwa moja mkononimikononi mwake. [[Makao makuu]] yalihamishwa kutoka [[Bagamoyo]] pasipo na [[bandari]] kwa [[meli]] kubwa kwenda Dar es Salaam penye bandari nzuri. Boma la Kale iliendelealiliendelea kutumiwa kama kituo cha [[forodha]] na baadaye kama [[gereza]] penyelenye wafungwa [[Waafrika]] hadi 200.<ref>Bericht über die Bekämpfung der Malaria unter den Eingeborenen in Dar es Salaam, Medizinal-Berichte über die deutschen Schutzgebiete für das Jahr 1904/05, uk. 26 ([http://brema.suub.uni-bremen.de/dsdk/periodical/pageview/2089133 online hapa])</ref>
 
Wakati wa [[Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia]] Dar es Salaam ilivamiwa na [[jeshi]] la [[Uingereza]] kenyekwenye mwaka [[1916]]. Tanganyika iliendelea kuwa kolonichini ya Uingereza na Dar es Salaam kuwa [[mji mkuu]]. Boma la Kale ilikuwalilikuwa [[kituo cha polisi]] hadi [[uhuru]] wa nchi kwenyetarehe mwaka[[9 Desemba]] [[1961]].
 
==Urithi wa Kitaifa wa Tanzania==
Baada ya uhuru polisi ilihamia majengo mapya. Boma la Kale lilitumiwa kwa ofisi mbalimbali za serikali. Mnamo [[1980]] kulikuwa na mipango ya kobomoa nyumba lakini wananchi wengi wa mji walitetea jengo hilihilo la kihistoria. Mwaka [[1995]] liliandikishwa katika orodha ya kumbukumbu ya urithi wa kitaifa.
 
Tangu mwaka [[2014]] taasisi ya [[Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage|Dar es Salaam Centre for Architectural Heritage (DARCH)]] iliweza kupatana na [[Halmashauri ya Jiji]] la Dar es Salaam kuhusu mipango ya ukarabati na matumizi ya Boma la Kale. Tangu mwaka [[2017]] Boma la Kale ni kituo cha kiutamaduni penyechenye programu na maonyesho kuhusu historia na [[urithi]] wa Dar es Salaam, [[mazingira]], [[uchumi]] na [[mshikamano]] wa kijamii wake.
 
==Tanbihi==