Nsunga : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
→‎Marejeo: Takwimu za Kata Nsunga, 2018
No edit summary
Mstari 1:
'''Nsunga''' ni [[jina]] la [[kata]] ya [[Wilaya ya Missenyi]] katika [[Mkoa wa Kagera]], [[Tanzania]] yenye [[postikodi]] [[namba]] '''35316''' <ref>https://www.tcra.go.tz/images/documents/postcode/tzPostcodeList.pdf</ref>. BaadhiWakati yawa Vijiji[[sensa]] katikailiyofanyika kata[[mwaka]] hiiwa ni2012, pamojakata ilikuwa na wakazi wapatao 19,001 waishio humo.<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Kagera - Missenyi District Council]</ref>
 
Baadhi ya [[Kijiji|vijiji]] katika kata hii ni pamoja na:
* Igayaza
* Ngando
Line 6 ⟶ 7:
* Byamutemba
 
Watu wanaoishi katika kata hii wanajihusisha na [[kilimo]] cha [[kahawa]], [[ndizi]], [[mboga]] mboga, na [[ufugaji]]. Nsunga ni kata inayokuwainayokua kwa [[kasi]], na [[uchumi]] wake unaotegemea kilimo cha kahawa na mbogamboga unakwamua watu wengi katika [[umaskini]]. Ni Katakata ambamo ndani yake kuna [[kiwanda]] cha [[sukari]] cha Kagera Sugar, ambapo wakazi wa kata hii pia hujihusisha na kilimo cha [[miwa]].
 
Kata hii pia imekuwa na umaarufu kwa kuwa na ukanda wenye kutuama [[maji]], ambapo nyakati za [[kiangazi]] hutumika katika kuzalisha mboga za [[majani]] na [[matunda]]. Maeneo haya ni pamoja na [[Kyarukorongo]], [[Kigwanga]] na [[Gelegele]], ambako mboga nyingi huzalishwa, na hasa katika mkoa wa Kagera. [[Wakulima]] hawa hutegemea [[soko]] kuu la [[Bunazi]], lililoko [[wilaya ya Missenyi]].
 
Kata hii pia ina [[milima]] mingi ambayo ilitumika kwa umuhimu zaidi katika [[vita yavya Kagera]] ([[1978]]-79[[1979]]).
 
[[Tarehe]] [[10 Septemba]] [[2016]] Nsunga ilikuwa mahali pa [[kitovu]] cha [[tetemeko la ardhi la Kagera 2016]].
Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 19,001 waishio humo.<ref>[http://www.wavuti.weebly.com/uploads/3/0/7/6/3076464/census20general20report20-202920march202013_combined_final20for20printing1.pdf Sensa ya 2012, Kagera - Missenyi District Council]</ref>
 
Tarehe 10 Septemba 2016 Nsunga ilikuwa mahali pa kitovu cha [[tetemeko la ardhi la Kagera 2016]].
 
==Marejeo==
{{marejeo}}
 
{{Kata za Wilaya ya Missenyi}}
 
{{mbegu-jio-kagera}}