Frederick Lugard : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Frederick Lugard, 1st Baron Lugard.jpg|thumb|Frederick Lugard]]
'''Frederick John Dealtry Lugard''' ([[22 Januari]]
Alikuwa [[Gavana]] wa [[Hong Kong]] ([[1907]]-[[1912]]), Gavana wa mwisho wa [[Nchi Lindwa]] ya [[Nijeria Kusini]] (1912-[[1914]]), [[balozi]] wa kwanza ([[1900]]-[[1906]]) na gavana wa mwisho (1912-1914) wa Nchi Lindwa ya [[Nijeria Kaskazini]] na Gavana Mkuu wa kwanza wa [[Nijeria]] (1914-[[1919]]).
Alizaliwa katika Madras ([[Chennai]]), [[Uhindi|India]], lakini alilelewa katika Worcester, [[Uingereza]].<ref>{{Cite web|url=https://www.findagrave.com/memorial/126290001/frederick-john_dealtry-lugard|title=Sir Frederick John Dealtry Lugard (1858-1945) - Find A Grave Memorial|date=13 June 2018}}</ref>▼
▲Alizaliwa
== Upelelezi katika Afrika Mashariki ==
[[Picha:Frederick_John_Dealtry_Lugard,_Vanity_Fair,_1895-12-19.jpg|left|thumb|Lugard katika picha iliyochorwa na mwandishi wa jarida la Vanity Fair, mwaka [[1895]]]]
Baada ya kuondoka [[Malawi|Unyasa]] [[Aprili]], [[mwaka]] [[1889]], Lugard alikubali kufanya [[kazi]] katika [[Kampuni ya Kifalme ya Kiingereza kwa Afrika ya Mashariki]] (IBEAC). Alifika katika [[Mombasa|mji wa Mombasa]]
Kazi ya kwanza ya Lugard ilikuwa kutafuta njia ya kufikia Machakos ambayo haingepitia Jangwa la Taru.<ref>{{Cite book|title=The Lunatic Express|last=Miller|first=Charles|date=2015|publisher=Head of Zeus Ltd.|isbn=9781784972714|location=London|at=4022}}</ref>
Agosti, mwaka [[1890]], Lugard alisafiri kutoka Mombasa hadi [[Uganda]]. Alihakikisha [[utawala]] na ushawishi wa Uingereza katika [[Ufalme wa Buganda]] na kukomesha ghasia kati ya vikundi tofauti ndani ya ufalme.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.ke/books?id=FT0zAQAAMAAJ&dq=lugard%20blood%20brotherhood&pg=PA330#v=onepage&q=lugard%20blood%20brotherhood&f=false|title=The London Quarterly and Holborn Review|date=1894|publisher=E.C. Barton|pages=330|language=en}}</ref><ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.ke/books?id=UEc9DgAAQBAJ&lpg=PA126&ots=ebQ12BwMNh&dq=ibeac%20treaty&pg=PA126#v=onepage&q=ibeac%20treaty&f=false|title=Robert Thorne Coryndon: Proconsular Imperialism in Southern and Eastern Africa, 1897-1925|last=Youé|first=Christopher P.|date=2006-01-01|publisher=Wilfrid Laurier Univ. Press|isbn=9780889205482|pages=126|language=en}}</ref>
Alipatiwa [[jukumu]] la kufanya makubaliano na [[Kabila|makabila]] ya wenyeji na kujenga [[ngome]] njiani ili kuhakikisha [[usalama]] wa ziara ambazo IBEAC ingefanya baadaye.<ref>{{Cite book|url=https://books.google.co.ke/books?id=7XQdt37BJ6cC&lpg=PA11&ots=USyYZB_L7X&dq=ibeac%20treaty%20russell%20diary&pg=PP1#v=onepage&q=ibeac%20treaty%20russell%20diary&f=false|title=Red Strangers: The White Tribe of Kenya|last=Nicholls|first=Christine Stephanie|date=2005|publisher=Timewell Press|isbn=9781857252064|pages=10|language=en}}</ref> IBEAC ilifanya makubaliano kutumia hati rasmi zilizokuwa zimeandikwa na kutiwa [[saini]] na watawala na viongozi wa makabila, lakini Lugard alipendelea kufanya makubaliano ya [[Uchale|undugu wa kuchanjiana]], kwani aliamini [[undugu]] huo uliwasawazisha.<ref name=":0">{{Cite book|url=https://www.worldcat.org/oclc/968732897|title=The Lunatic Express.|last=Charles.|first=Miller,|date=2015|publisher=Head of Zeus|year=|isbn=9781784972714|location=|pages=4015|oclc=968732897}}</ref> Aliingia katika makubaliano kadhaa kama hayo na viongozi wa makabila kati ya Mombasa na Uganda. Mojawapo ya makubaliano ya uchale ambayo ni maarufu yalifanyika mwaka 1890, katika [[Dagoretti]], kati yake na [[Waiyaki
Lugard alikuwa mtawala wa [[jeshi]] katika Uganda kutoka Disemba 26, mwaka 1890 hadi Mei mwaka 1892. Wakati huo, alizuru [[Safu ya Ruwenzori]] hadi [[Ziwa Edward]], akichora [[ramani]] ya maeneo hayo. Pia, alisafiri hadi [[Ziwa Albert (Afrika)|Ziwa Albert]]
== Huduma katika koloni ==
Mwaka [[1894]], Lugard alitumwa na [[Kampuni ya Kifalme ya Nijeria]] aende [[Borgu]], ambapo alifanya makubaliano na viongozi ambao walitambua utawala wa Uingereza. Kutoka mwaka [[1896]] hadi mwaka [[1897]], Lugard aliongoza [[msafara]] wa kuenda katika [[Ziwa Ngami]], [[Botswana]]. Baadaye, alitumwa [[Koloni
Baada ya kuhudumu katika [[Jeshi la Afrika Magharibi]], Lugard aliteuliwa kuwa Balozi wa Nchi Lindwa ya Nijeria Kaskazini. Alisoma tangazo liliotangaza kuundwa kwa nchi lindwa katika Januari 1, 1900.<ref>{{Cite newspaper The Times||articlename=The Transfer of Nigeria to the Crown|day_of_week=Thursday|date=8 February 1900|page_number=7|issue=36060}}</ref>
Lugard alifanywa [[shujaa wa ukoo bora]] mwaka [[1901]] kwa sababu ya [[huduma]] yake katika Nijeria.
== Marejeo ==
{{Reflist|2}}
{{mbegu-mtu}}
[[Jamii:Waliozaliwa 1858]]
[[Jamii:Waliofariki 1945]]
|