Halmashauri : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
 
Mstari 1:
'''Halmashauri''' (kutoka [[neno]] la [[Kiarabu]]) ni kikundi cha [[watu]] ambao wamechaguliwa au kuteuliwa wafanye [[kazi]] ya kuongoza, kutawala, kutunga [[sheria]], kushauri na kuelekeza mambo.
 
Pia ni chombo cha kiutawala chenye [[mamlaka]] kiasi fulani kuendesha shughuli za kiutawala za eneo husika kama vile [[wilaya]] au [[mji]].<ref>[[http://www.pmo.go.tz/| Halmashauri]]</ref>
 
==Tanbihi==