Tanganyika : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
File renamed. (GlobalReplace v0.6.5) |
|||
Mstari 31:
Mwaka [[1922]] Shirikisho la Mataifa lilithibitisha hatua hiyo na kuamua ma[[sharti]] ya kukabidhi.
Waingereza walihitaji jina jipya kwa ajili ya koloni
Katika [[Vita vikuu vya pili]], wananchi 100,000 hivi waliungana na [[jeshi]] la Uingereza<ref name="Heale">{{cite book|author1=Jay Heale|author2=Winnie Wong|title=Tanzania|url=https://books.google.com/books?id=9UhNJxHg14wC|year=2010|publisher=Marshall Cavendish|isbn=978-0-7614-3417-7}}</ref> wakiwa kati ya Waafrika 375,000.<ref name="MGT">[http://www.mgtrust.org/afr2.htm "African participants in the Second World War"]. mgtrust.org.</ref> Watanganyika walipiga vita katika vikosi vya [[King's African Rifles]] huko [[Somalia]], [[Uhabeshi]], [[Madagascar]] na [[Burma]].<ref name="MGT"/> Pia Tanganyika ilikuwa chanzo kikubwa cha [[chakula]]<ref name="Heale"/> Jambo hilo lilisababisha [[mfumuko wa bei]] usio wa kawaida.<ref>[http://www.content.eisa.org.za/old-page/tanzania-british-rule-between-wars-1916-1945 "Tanzania: British rule between the Wars (1916–1945)"]. ''eisa.org.za''.</ref>
|