Unajimu : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:Orion Picha.jpg|thumbnail|Mwindaji [[Orion]]: watu waliwaza ya kwamba nyota kadhaa zinazoonekana kwa pamoja angani ni picha ya mungu fulani au nguvu muhimu katika ulimwengu, hata kama nyota hizi hali halisi hazina uhusiano kati yao.]]
'''Unajimu''' (wakati mwingine pia: '''astrolojia''' kutoka [[Kiingereza]]: "astrology") ni mafundisho yasiyo ya [[sayansi|kisayansi]] juu ya uhusiano kati ya [[nyota]] na [[maisha]] hapa [[duniani]]. Wafuasi wa unajimu hufundisha ya kwamba nyota zinaathiri maisha ya watu na matukio duniani kama [[amani]], [[vita]] au [[maafa]]. Hapa huangalia hasa [[
Kuna aina nyingi za unajimu:
Mstari 9:
== Tofauti ya unajimu na astronomia ==
Unajimu na [[astronomia]] zilianza pamoja kama [[kazi]] ileile zikaendelea hivyo kwa [[karne]] nyingi. Tangu mwanzo wa [[sayansi]] ya kisasa takriban miaka 500 iliyopita [[wataalamu]] walitambua tabia za nyota kuwa [[magimba ya angani]] yenye sifa za ki[[fizikia]] si [[pepo]], [[roho]] au miungu wanaoweza kutawala dunia au wanadamu. Kwa hiyo njia za unajimu (astrolojia) na astronomia zimeachana tangu karne kadhaa. Lakini miaka 400 iliyopita [[wanasayansi]] muhimu kama [[Tycho Brahe]], [[Johannes Kepler]], [[Giordano Bruno]] au [[Galileo Galilei]] walitengeneza [[horoskopi]], ingawa waliweka misingi ya astronomia ya kisasa.
[[Picha:Antiquities of Mexico, 1831; Aztec zodiac man Wellcome L0020862.jpg|thumbnail|Uchoraji wa Meksiko ya Kale unaonyesha zodiaki ya
== Asili ya unajimu ==
Mstari 27:
Kwa [[wazee]] hao ilionekana kama nyota fulani inatawala majira, hali ya hewa na hivyo maisha ya [[binadamu]] kwa sababu maisha ya [[jamii]] yalitegemea majira na mwendo wa mvua, [[ukame]], baridi au joto. Hapo ni [[asili]] ya kuziangalia nyota kama miungu au pepo wenye uwezo fulani. Hasa tabia ya hali ya hewa ya kuchelewa au kuwahi kidogo ilijenga imani ya kwamba kuchelewa kwa mvua ni [[dalili]] ya [[hasira]] ya [[mungu]] yule anayeonekana katika nyota fulani.
[[Picha:Astro signs.svg|thumbnail|Alama kwa
== Horoskopi ==
Kati ya mbinu za unajimu zinazojulikana sana duniani ni [[horoskopi]].
Tangu zamani watu walitazama nyota zilizoonekana pamoja kama [[kundinyota]] kama nukta angani na kuwaza kuwa na mistari kati yake, hivyo kuona picha ya watu, wanyama au miungu. Ni hasa
Unajimu unafundisha
Hadi leo chini ya vichwa kama "Nyota zinasema" [[magazeti]] mengi huchapisha namna za [[utabiri]] wa kila [[wiki]] kwa watu kufuatana na [[tarehe]] zao za kuzaliwa.
|