Kasoko : Tofauti kati ya masahihisho
Content deleted Content added
No edit summary |
No edit summary |
||
Mstari 1:
[[Picha:kutokea kwa Kasoko.png|thumb|Kutokea kwa kasoko baada ya pigo la asteroidi]]
Kasoko ina [[umbo]] la [[duara]]; katikati ni kama shimo na ukingo wake unainuliwa juu ya uwiano wa [[mazingira]] yake. [[Duniani]] kasoko zinapatikana mara nyingi kutokana na milipuko
Duniani kasoko zilizosababishwa na mishtuko ya aina
Kuna aina mbalimbali za kasoko
* [[kasoko ya mlipuko]], kwa mfano wa [[bomu]]
* [[kasoko ya dharuba]] (mgongano) kutokana na kugongwa kwa uso la gimba na gimba nyingine, kwa mfano kama Dunia, sayari nyingine au Mwezi imegongwa na [[meteoridi]] au [[asteroidi]]
* [[
Kasoko kubwa zaidi duniani zilisababishwa na [[asteroidi]] zilizogonga Dunia yetu. Kasoko kubwa iliyojulikana hadi [[mwaka]] [[2006]] ilikuwa kasoko ya [[Vredefort]] nchini ([[Afrika Kusini]]) yenye umbo la [[yai]]
Mwaka 2006 [[wataalamu]] waligundua kasoko kubwa zaidi yenye [[kipenyo]] cha
==Picha==
<gallery>
Image:Tycho_crater_on_the_Moon.jpg|Kasoko ya [[Tycho Brahe|Tycho]] mwezini kutokana na dharuba ya kimondo
Line 22 ⟶ 23:
</gallery>
{{mbegu-sayansi}}
[[Jamii:Jiografia]]
[[jamii:Astronomia]]
|