Maliki Junubi : Tofauti kati ya masahihisho

Content deleted Content added
No edit summary
No edit summary
Mstari 19:
[[Picha:Asadi_-_Simba_(Leo).png|400px|thumb|Maliki Junubi (Regulus) katika makundinyota yake ya Asadi – Leo jinsi inavyoonekana kwa mtazamaji wa Afrika ya Mashariki]]
 
'''Maliki Junubi''' ([[ing.]] na [[lat.]] '''Regulus''' pia '''<big>α</big> Alfa&nbsp;Leonis''', kifupi '''Alfa Leo''', '''α&nbsp;Leo''') ni nyota angavu zaidi katika kundinyota la [[AsadiSimba (kundinyota)|Asadi,Simba]] (pia SimbaAsadi, [[lat.]] (''[[:en:Leo (constellation)|Leo]]'').
==Jina==
Maliki Junubi inayomaanisha “Mfalme wa Kusini” ilijulikana kwa mabaharia Waswahili tangu miaka mingi wakifuata njia yao baharini wakati wa usiku kwa msaada wa nyota. <ref>ling. Knappert 1993</ref>. Walipokea jina hili kutoka kwa Waarabu wanaosema <big> المليك</big> ''al-malik'' linalomaanisha "mfalme". Waarabu waliwafuata hapa Wagiriki wa Kale waliosema βασιλίσκος basiliskos (mfalme mdogo);. Jina mbadala lilikuwa “moyo wa simba” yaani قلب الأسد qalb al-asad.
Kwa matumizi ya kimataifa Umoja wa Kimataifa wa Astronomia ulikubali umbo la Kilatini la jina na kuorodhesha nyota hii kwa jina la "Regulus" <ref>[https://www.iau.org/public/themes/naming_stars/ Naming Stars], tovuti ya [[Umoja wa Kimataifa wa Astronomia]] (Ukia), iliangaliwa Novemba 2017</ref> (yaani mfalme mdogo).
 
Mstari 28:
 
==Tabia==
Maliki Junubi - Regulus iko katika umbali wa miakanuru 77.5 kutoka Jua letu. Ina mwangaza unaoonekana wa 1.36 na mwangaza halisi ni -0.2. Spektra yake ni ya [[kundi la spectra|aina ya B7]].
 
Iko angani karibu na mstari wa [[ekliptiki]], hivyo inafunikwa mara nyingi na Mwezi.